MASTER SHIVO MPUNGA MNONO
MASTER SHIVO KUPATA SHAVU AFRICA TELEVISION NETWORK
Ninamshukuru Mungu hadi hapa ninapoelekea kwani nikikumbuka nilipotoka namwagika machozi kwani changamoto ni nyingi na ukizingatia ni kazi yangu ya kwanza . Mungu ni mkubwa kwani Kampuni yangu haina Muda mrefu na imepata tenda nyingi kupitia makampuni makubwa nje ya nchi kama SAIFUL ENTERPRISE iliyoko bangladesh na sasa nimesaini mkataba wa kampuni ambayo makao makuu yake yapo Mauritius katika mji unao julikana kama CYBERCITY Ninashukuru wote walio shilikiana nami walionishauli na walioniunga mkono wakati wote
Maoni
Chapisha Maoni